Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 2:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Lakini jirani zangu walinidhihaki, wakasema Mtu huyu bado haogopi kuuawa kwa sababu ya tendo hilo; ingawa alikimbia; na kumbe! Anazika maiti tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Lakini jirani zangu wakanidhihaki wakisema, “Mtazameni huyu! Haogopi tena! Safari ile alinusurika kuuawa kwa sababu ya kufanya hayohayo. Bahati yake alichopoka. Lakini sasa anarudia mambo yaleyale!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Lakini jirani zangu wakanidhihaki wakisema, “Mtazameni huyu! Haogopi tena! Safari ile alinusurika kuuawa kwa sababu ya kufanya hayohayo. Bahati yake alichopoka. Lakini sasa anarudia mambo yaleyale!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Lakini jirani zangu walinidhihaki, wakasema Mtu huyu bado haogopi kuuawa kwa sababu ya tendo hilo; ingawa alikimbia; na kumbe! Anazika maiti tena.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

8 Lakini jirani zangu wakanidhihaki wakisema, “Mtazameni huyu! Haogopi tena! Safari ile alinusurika kuuawa kwa sababu ya kufanya hayohayo. Bahati yake alichopoka. Lakini sasa anarudia mambo yaleyale!”

Tazama sura Nakili




Tobiti 2:8
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo