Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 2:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 huku nikiukumbuka ule unabii wa Amosi, kusema, Nitageuza sikukuu zenu kuwa maombolezo, Na nyimbo zenu zote kuwa vilio.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Nikakumbuka maneno ya nabii Amosi: “Sikukuu zenu zitageuka kuwa maombolezo, na nyimbo zenu kilio.” Nami sikuweza kuyazuia machozi yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Nikakumbuka maneno ya nabii Amosi: “Sikukuu zenu zitageuka kuwa maombolezo, na nyimbo zenu kilio.” Nami sikuweza kuyazuia machozi yangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 huku nikiukumbuka ule unabii wa Amosi, kusema, Nitageuza sikukuu zenu kuwa maombolezo, Na nyimbo zenu zote kuwa vilio.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

6 Nikakumbuka maneno ya nabii Amosi: “Sikukuu zenu zitageuka kuwa maombolezo, na nyimbo zenu kilio.” Nami sikuweza kuyazuia machozi yangu.

Tazama sura Nakili




Tobiti 2:6
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo