Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 2:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Ndipo nilipoona nyama tele, nikamwambia mwanangu, Nenda ukamlete mtu maskini yeyote utakayemwona miongoni mwa ndugu zetu amkumbukaye BWANA. Haya! Nakungojea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 nikamwambia Tobia, “Mwanangu, nenda nje ukaangalie kama kuna maskini Myahudi mwenzetu mcha Mungu, umlete hapa. Haya! Nakungojea.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 nikamwambia Tobia, “Mwanangu, nenda nje ukaangalie kama kuna maskini Myahudi mwenzetu mcha Mungu, umlete hapa. Haya! Nakungojea.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Ndipo nilipoona nyama tele, nikamwambia mwanangu, Nenda ukamlete mtu maskini yeyote utakayemwona miongoni mwa ndugu zetu amkumbukaye BWANA. Haya! Nakungojea.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

2 nikamwambia Tobia, “Mwanangu, nenda nje ukaangalie kama kuna maskini Myahudi mwenzetu mcha Mungu, umlete hapa. Haya! Nakungojea.”

Tazama sura Nakili




Tobiti 2:2
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo