Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili Tobiti 2:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Naye akanijibu, Aa, ni zawadi yangu niliyopewa faida zaidi ya mshahara wangu. Lakini mimi sikumsadiki; nikamwagiza awarudishie wenyewe; nikamwonea haya. Akarudisha maneno, Je! Wewe, ziko wapi basi sadaka zako na matendo yako ya haki? Tazama ati! Umefahamika wewe na kazi zako zote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Ana akaniambia: “Sivyo! Huyu mwanambuzi nimepewa zawadi pamoja na mshahara wangu.” Lakini mimi sikumwamini; nikaona haya kwa kitendo hicho alichofanya. Nilimwamuru amrudishe huyo mbuzi kwa wenyewe. Ndipo aliponijibu: “Haya basi! Wewe uliwasaidia maskini au sivyo? Matendo yako yamekupatia nini? Yaliyokupata ni dhahiri!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Ana akaniambia: “Sivyo! Huyu mwanambuzi nimepewa zawadi pamoja na mshahara wangu.” Lakini mimi sikumwamini; nikaona haya kwa kitendo hicho alichofanya. Nilimwamuru amrudishe huyo mbuzi kwa wenyewe. Ndipo aliponijibu: “Haya basi! Wewe uliwasaidia maskini au sivyo? Matendo yako yamekupatia nini? Yaliyokupata ni dhahiri!” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Naye akanijibu, Aa, ni zawadi yangu niliyopewa faida zaidi ya mshahara wangu. Lakini mimi sikumsadiki; nikamwagiza awarudishie wenyewe; nikamwonea haya. Akarudisha maneno, Je! Wewe, ziko wapi basi sadaka zako na matendo yako ya haki? Tazama ati! Umefahamika wewe na kazi zako zote. Tazama suraBIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA14 Ana akaniambia: “Sivyo! Huyu mwanambuzi nimepewa zawadi pamoja na mshahara wangu.” Lakini mimi sikumwamini; nikaona haya kwa kitendo hicho alichofanya. Nilimwamuru amrudishe huyo mbuzi kwa wenyewe. Ndipo aliponijibu: “Haya basi! Wewe uliwasaidia maskini au sivyo? Matendo yako yamekupatia nini? Yaliyokupata ni dhahiri!” Tazama sura |