Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 2:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Na yule mwana-mbuzi alipokuwamo nyumbani mwangu alianza kulia. Kwa hiyo nikamwuliza mke wangu, Huyu mwana-mbuzi ametoka wapi? Je! Hukumwiba? Uwarudishie wenyewe, maana si halali kula kilichoibiwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Ana alipowasili nyumbani, mwanambuzi huyo akaanza kulia. Mimi nikamwuliza mke wangu, “Mbuzi huyo ametoka wapi? Umemwiba sivyo? Mrudishe kwa mwenyewe! Si halali kula vitu vilivyoibiwa!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Ana alipowasili nyumbani, mwanambuzi huyo akaanza kulia. Mimi nikamwuliza mke wangu, “Mbuzi huyo ametoka wapi? Umemwiba sivyo? Mrudishe kwa mwenyewe! Si halali kula vitu vilivyoibiwa!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Na yule mwana-mbuzi alipokuwamo nyumbani mwangu alianza kulia. Kwa hiyo nikamwuliza mke wangu, Huyu mwana-mbuzi ametoka wapi? Je! Hukumwiba? Uwarudishie wenyewe, maana si halali kula kilichoibwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

13 Ana alipowasili nyumbani, mwanambuzi huyo akaanza kulia. Mimi nikamwuliza mke wangu, “Mbuzi huyo ametoka wapi? Umemwiba sivyo? Mrudishe kwa mwenyewe! Si halali kula vitu vilivyoibiwa!”

Tazama sura Nakili




Tobiti 2:13
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo