Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 2:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Wala sikujua kama wamo videge katika ukuta, na macho yangu yalikuwa wazi. Hivyo videge wakateremsha mavi ya moto ndani ya macho yangu; vikatokea vyamba vyeupe katika macho yangu. Nikaenda kwa matabibu wasiweze kunisaidia. Walakini Akiakaro alinilisha hata alipohamia Elimayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Wala sikujua ya kwamba kulikuwapo mbayuwayu ukutani juu yangu. Basi wakanidondoshea machoni mavi yao yenye moto, vigamba vyeupe vikaziba macho yangu. Niliwaendea waganga mbalimbali, lakini hakuna aliyeweza kuniponya; mwisho nikawa kipofu kabisa. Kwa miaka minne sikuweza kuona chochote. Ndugu zangu walinishughulikia sana, na Ahika alinitunza kwa miaka miwili, kisha akaenda zake nchini Elamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Wala sikujua ya kwamba kulikuwapo mbayuwayu ukutani juu yangu. Basi wakanidondoshea machoni mavi yao yenye moto, vigamba vyeupe vikaziba macho yangu. Niliwaendea waganga mbalimbali, lakini hakuna aliyeweza kuniponya; mwisho nikawa kipofu kabisa. Kwa miaka minne sikuweza kuona chochote. Ndugu zangu walinishughulikia sana, na Ahika alinitunza kwa miaka miwili, kisha akaenda zake nchini Elamu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Wala sikujua kama wamo videge katika ukuta, na macho yangu yalikuwa wazi. Hivyo videge wakateremsha mavi ya moto ndani ya macho yangu; vikatokea vyamba vyeupe katika macho yangu. Nikaenda kwa matabibu wasiweze kunisaidia. Walakini Akiakaro alinilisha hata alipohamia Elimayo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

10 Wala sikujua ya kwamba kulikuwapo mbayuwayu ukutani juu yangu. Basi wakanidondoshea machoni mavi yao yenye moto, vigamba vyeupe vikaziba macho yangu. Niliwaendea waganga mbalimbali, lakini hakuna aliyeweza kuniponya; mwisho nikawa kipofu kabisa. Kwa miaka minne sikuweza kuona chochote. Ndugu zangu walinishughulikia sana, na Ahika alinitunza kwa miaka miwili, kisha akaenda zake nchini Elamu.

Tazama sura Nakili




Tobiti 2:10
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo