Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 2:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Hata nilipofika tena nyumbani kwangu, na kurudishiwa mke wangu Ana na mwanangu Tobia, kwenye sikukuu ya Pentekoste, iliyo siku takatifu ya majuma saba, niliandaliwa chakula kizuri, nikakaa kitako nile.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Basi niliporejea nyumbani kwangu na kupatiwa tena mke wangu Ana na mwanangu Tobia, niliandaliwa karamu kubwa wakati wa sikukuu ya Pentekoste, iliyo sikukuu takatifu ya majuma saba. Nilipokuwa nimekaa mezani na kuona vyakula vingi mezani,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Basi niliporejea nyumbani kwangu na kupatiwa tena mke wangu Ana na mwanangu Tobia, niliandaliwa karamu kubwa wakati wa sikukuu ya Pentekoste, iliyo sikukuu takatifu ya majuma saba. Nilipokuwa nimekaa mezani na kuona vyakula vingi mezani,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Hata nilipofika tena nyumbani kwangu, na kurudishiwa mke wangu Ana na mwanangu Tobia, kwenye sikukuu ya Pentekoste, iliyo siku takatifu ya majuma saba, niliandaliwa chakula kizuri, nikakaa kitako nile.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

1 Basi niliporejea nyumbani kwangu na kupatiwa tena mke wangu Ana na mwanangu Tobia, niliandaliwa karamu kubwa wakati wa sikukuu ya Pentekoste, iliyo sikukuu takatifu ya majuma saba. Nilipokuwa nimekaa mezani na kuona vyakula vingi mezani,

Tazama sura Nakili




Tobiti 2:1
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo