Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 12:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Basi hapo mliposali, wewe na mkweo Sara mimi niliupeleka ukumbusho wa sala zenu mbele zake Aliye Mtakatifu; na hapo ulipowazika wafu, nilikuwapo pamoja nawe vile vile.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Wewe na Sara mlipokuwa mnasali wakati ule, mimi ndiye niliyewasilisha sala zenu mbele ya Bwana aliye mtukufu. Na kila ulipokuwa unawazika wafu, mimi niliwasilisha matendo yako mbele yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Wewe na Sara mlipokuwa mnasali wakati ule, mimi ndiye niliyewasilisha sala zenu mbele ya Bwana aliye mtukufu. Na kila ulipokuwa unawazika wafu, mimi niliwasilisha matendo yako mbele yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Basi hapo mliposali, wewe na mkweo Sara mimi niliupeleka ukumbusho wa sala zenu mbele zake Aliye Mtakatifu; na hapo ulipowazika wafu, nilikuwapo pamoja nawe vile vile.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

12 Wewe na Sara mlipokuwa mnasali wakati ule, mimi ndiye niliyewasilisha sala zenu mbele ya Bwana aliye mtukufu. Na kila ulipokuwa unawazika wafu, mimi niliwasilisha matendo yako mbele yake.

Tazama sura Nakili




Tobiti 12:12
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo