Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 11:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Lakini Ana alimkimbilia, akamwangukia mwanawe shingoni, akamwambia, Mwanangu! Nimekuona; tangu sasa ni radhi nife. Wakalia wote wawili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Ana akamkimbilia mwanawe, akamkumbatia na kumwambia, “Nimekuona tena mwanangu. Sasa naweza kufa!” Akatoa machozi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Ana akamkimbilia mwanawe, akamkumbatia na kumwambia, “Nimekuona tena mwanangu. Sasa naweza kufa!” Akatoa machozi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Lakini Ana alimkimbilia, akamwangukia mwanawe shingoni, akamwambia, Mwanangu! Nimekuona; tangu sasa ni radhi nife. Wakalia wote wawili.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

9 Ana akamkimbilia mwanawe, akamkumbatia na kumwambia, “Nimekuona tena mwanangu. Sasa naweza kufa!” Akatoa machozi.

Tazama sura Nakili




Tobiti 11:9
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo