Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili Tobiti 11:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Ndipo Tobiti alipotoka mara kwenda kumlaki mkwewe penye lango la Ninawi, akifurahi na kumhimidi Mungu; na wale waliomwona akienda wakastaajabu, kwa sababu amepewa kuona tena. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Basi, Tobiti kwa sifa za shangwe kwa Mungu alitoka kwenda kumlaki mke wa mwanawe kwenye lango la mji wa Ninewi. Watu wa Ninewi walipomwona Tobiti anatembea kwa nguvu kama zamani bila kuongozwa na mtu wakashangaa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Basi, Tobiti kwa sifa za shangwe kwa Mungu alitoka kwenda kumlaki mke wa mwanawe kwenye lango la mji wa Ninewi. Watu wa Ninewi walipomwona Tobiti anatembea kwa nguvu kama zamani bila kuongozwa na mtu wakashangaa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Ndipo Tobiti alipotoka mara kwenda kumlaki mkwewe penye lango la Ninawi, akifurahi na kumhimidi Mungu; na wale waliomwona akienda wakastaajabu, kwa sababu amepewa kuona tena. Tazama suraBIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA16 Basi, Tobiti kwa sifa za shangwe kwa Mungu alitoka kwenda kumlaki mke wa mwanawe kwenye lango la mji wa Ninewi. Watu wa Ninewi walipomwona Tobiti anatembea kwa nguvu kama zamani bila kuongozwa na mtu wakashangaa. Tazama sura |