Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 11:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Kwa maana umenirudi, ukanihurumia; lo-o-o! Namwona mwanangu Tobia. Naye mwanawe aliingia ndani, huku anafurahi, akamwambia baba yake habari za yale mambo makuu yaliyomtukia huko Umedi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Yeye aliniletea mateso haya lakini sasa amenionea huruma, na naweza kumwona mwanangu Tobia!” Hapo Tobia akaingia nyumbani kwa furaha, akimsifu Mungu kwa sauti. Kisha akamwambia baba yake jinsi safari yake ilivyofanikiwa na kwamba, aliileta ile fedha, na jinsi alivyomwoa Sara, binti Ragueli, ambaye alikuwa anamfuata, karibu kufika Ninewi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Yeye aliniletea mateso haya lakini sasa amenionea huruma, na naweza kumwona mwanangu Tobia!” Hapo Tobia akaingia nyumbani kwa furaha, akimsifu Mungu kwa sauti. Kisha akamwambia baba yake jinsi safari yake ilivyofanikiwa na kwamba, aliileta ile fedha, na jinsi alivyomwoa Sara, binti Ragueli, ambaye alikuwa anamfuata, karibu kufika Ninewi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Kwa maana umenirudi, ukanihurumia; lo-o-o! Namwona mwanangu Tobia. Naye mwanawe aliingia ndani, huku anafurahi, akamwambia baba yake habari za yale mambo makuu yaliyomtukia huko Umedi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

15 Yeye aliniletea mateso haya lakini sasa amenionea huruma, na naweza kumwona mwanangu Tobia!” Hapo Tobia akaingia nyumbani kwa furaha, akimsifu Mungu kwa sauti. Kisha akamwambia baba yake jinsi safari yake ilivyofanikiwa na kwamba, aliileta ile fedha, na jinsi alivyomwoa Sara, binti Ragueli, ambaye alikuwa anamfuata, karibu kufika Ninewi.

Tazama sura Nakili




Tobiti 11:15
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo