Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 11:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 akamtia nyongo machoni, akasema, Jipe moyo, baba yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Tobia akiwa na ile nyongo ya samaki mkononi, akamkimbilia baba yake. Alimpulizia baba yake machoni na kumtegemeza. Akamwambia, “Baba, jipe moyo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Tobia akiwa na ile nyongo ya samaki mkononi, akamkimbilia baba yake. Alimpulizia baba yake machoni na kumtegemeza. Akamwambia, “Baba, jipe moyo.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 akamtia nyongo machoni, akasema, Jipe moyo, baba yangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

11 Tobia akiwa na ile nyongo ya samaki mkononi, akamkimbilia baba yake. Alimpulizia baba yake machoni na kumtegemeza. Akamwambia, “Baba, jipe moyo.”

Tazama sura Nakili




Tobiti 11:11
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo