Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 10:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Tobiti akamwambia, Nyamaza, usifadhaike; yu mzima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Naye Tobiti akamwambia, “Tulia, dada, usihangaike. Hajambo; bila shaka kuna kitu kinachowachelewesha huko. Yule mwenzake ni mtu wa kuaminika tena ni jamaa yetu. Usife moyo mpenzi wangu; atarudi upesi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Naye Tobiti akamwambia, “Tulia, dada, usihangaike. Hajambo; bila shaka kuna kitu kinachowachelewesha huko. Yule mwenzake ni mtu wa kuaminika tena ni jamaa yetu. Usife moyo mpenzi wangu; atarudi upesi.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Tobiti akamwambia, Nyamaza, usifadhaike; yu mzima.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

6 Naye Tobiti akamwambia, “Tulia, dada, usihangaike. Hajambo; bila shaka kuna kitu kinachowachelewesha huko. Yule mwenzake ni mtu wa kuaminika tena ni jamaa yetu. Usife moyo mpenzi wangu; atarudi upesi.”

Tazama sura Nakili




Tobiti 10:6
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo