Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 10:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Baada ya hayo Tobia akaenda zake, hali akimhimidi Mungu kwa kuwa ameifanikisha safari yake. Akawabariki Ragueli na mkewe Edna.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Tobia aliondoka kwa Ragueli amejaa furaha, akimtukuza Mungu wa mbingu na dunia, Mfalme wa vyote, kwa kuifanikisha safari yake. Kisha aliwatakia Ragueli na mkewe Edna baraka akisema, “Furaha yangu na iwe kuwaheshimu nyinyi siku zote za maisha yangu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Tobia aliondoka kwa Ragueli amejaa furaha, akimtukuza Mungu wa mbingu na dunia, Mfalme wa vyote, kwa kuifanikisha safari yake. Kisha aliwatakia Ragueli na mkewe Edna baraka akisema, “Furaha yangu na iwe kuwaheshimu nyinyi siku zote za maisha yangu!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Baada ya hayo Tobia akaenda zake, hali akimhimidi Mungu kwa kuwa ameifanikisha safari yake. Akawabariki Ragueli na mkewe Edna.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

13 Tobia aliondoka kwa Ragueli amejaa furaha, akimtukuza Mungu wa mbingu na dunia, Mfalme wa vyote, kwa kuifanikisha safari yake. Kisha aliwatakia Ragueli na mkewe Edna baraka akisema, “Furaha yangu na iwe kuwaheshimu nyinyi siku zote za maisha yangu!”

Tazama sura Nakili




Tobiti 10:13
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo