Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 10:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Akawabariki, akawaruhusu, akasema, Wanangu, Mungu wa mbinguni akujalieni uheri kabla sijafa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Basi, akawaacha waende kwa furaha halafu akamkumbatia Tobia na kumwaga akisema, “Kwa heri mwanangu. Safiri salama. Bwana Mungu wa mbinguni, akuongoze wewe na mkeo nami nijaliwe kuwaona watoto wenu kabla sijafa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Basi, akawaacha waende kwa furaha halafu akamkumbatia Tobia na kumwaga akisema, “Kwa heri mwanangu. Safiri salama. Bwana Mungu wa mbinguni, akuongoze wewe na mkeo nami nijaliwe kuwaona watoto wenu kabla sijafa.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Akawabariki, akawaruhusu, akasema, Wanangu, Mungu wa mbinguni akujalieni uheri kabla sijafa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

11 Basi, akawaacha waende kwa furaha halafu akamkumbatia Tobia na kumwaga akisema, “Kwa heri mwanangu. Safiri salama. Bwana Mungu wa mbinguni, akuongoze wewe na mkeo nami nijaliwe kuwaona watoto wenu kabla sijafa.”

Tazama sura Nakili




Tobiti 10:11
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo