Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 10:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Kwa hiyo Ragueli akaondoka akampa mkewe Sara, na nusu ya mali zake, watumishi na ng'ombe na fedha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Basi, Ragueli akamkabidhi Tobia mke wake yaani Sara, bila kukawia, akampa pia nusu ya mali yake yote: Watumwa wa kike na wa kiume, ng'ombe, kondoo, fedha na vyombo kadha wa kadha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Basi, Ragueli akamkabidhi Tobia mke wake yaani Sara, bila kukawia, akampa pia nusu ya mali yake yote: watumwa wa kike na wa kiume, ng'ombe, kondoo, fedha na vyombo kadha wa kadha.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Kwa hiyo Ragueli akaondoka akampa mkewe Sara, na nusu ya mali zake, watumishi na ng'ombe na fedha.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

10 Basi, Ragueli akamkabidhi Tobia mke wake yaani Sara, bila kukawia, akampa pia nusu ya mali yake yote: Watumwa wa kike na wa kiume, ng'ombe, kondoo, fedha na vyombo kadha wa kadha.

Tazama sura Nakili




Tobiti 10:10
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo