Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 1:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Hata nilipopata kuwa mtu mzima nilimwoa Ana, aliyekuwa wa jamaa yetu; naye akanizalia Tobia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Mara nilipokuwa mtu mzima nilimwoa Ana, mwanamke wa kabila langu. Tulijaliwa mtoto tukamwita Tobia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Mara nilipokuwa mtu mzima nilimwoa Ana, mwanamke wa kabila langu. Tulijaliwa mtoto tukamwita Tobia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Hata nilipopata kuwa mtu mzima nilimwoa Ana, aliyekuwa wa jamaa yetu; naye akanizalia Tobia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

9 Mara nilipokuwa mtu mzima nilimwoa Ana, mwanamke wa kabila langu. Tulijaliwa mtoto tukamwita Tobia.

Tazama sura Nakili




Tobiti 1:9
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo