Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili Tobiti 1:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 na zaka ya pili niliuza, nikaenda na kuitumia Yerusalemu kila mwaka; na ya tatu niliwapa watu waliohusika nayo; kama alivyoniagiza Debora, mama wa baba yangu. Yaani, niliachwa yatima na baba yangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Sehemu ya tatu ya zaka niliwapa yatima, wajane na wageni walioishi miongoni mwa watu wa Israeli; niliwapelekea kama zawadi kila miaka mitatu. Tulipokula chakula tulifanya kulingana na Sheria ya Mose na mawaidha ya Debora mama wa babu yangu Ananieli. Baba yangu alikuwa amekufa akaniacha yatima. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Sehemu ya tatu ya zaka niliwapa yatima, wajane na wageni walioishi miongoni mwa watu wa Israeli; niliwapelekea kama zawadi kila miaka mitatu. Tulipokula chakula tulifanya kulingana na Sheria ya Mose na mawaidha ya Debora mama wa babu yangu Ananieli. Baba yangu alikuwa amekufa akaniacha yatima. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 na zaka ya pili niliuza, nikaenda na kuitumia Yerusalemu kila mwaka; na ya tatu niliwapa watu waliohusika nayo; kama alivyoniagiza Debora, mama wa baba yangu. Yaani, niliachwa yatima na baba yangu. Tazama suraBIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA8 Sehemu ya tatu ya zaka niliwapa yatima, wajane na wageni walioishi miongoni mwa watu wa Israeli; niliwapelekea kama zawadi kila miaka mitatu. Tulipokula chakula tulifanya kulingana na Sheria ya Mose na mawaidha ya Debora mama wa babu yangu Ananieli. Baba yangu alikuwa amekufa akaniacha yatima. Tazama sura |