Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 1:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 nikawapa makuhani, wana wa Haruni, huko madhabahuni. Zaka ya mazao yangu yote niliwapa wana wa Lawi, waliohudumu huko Yerusalemu;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Vitu hivi niliwapa makuhani, wazawa wa Aroni, kwa ajili ya madhabahu. Niliwapa Walawi waliohudumu huko Yerusalemu zaka yangu ya divai, ngano, zeituni, makomamanga na matunda mengine. Kwa miaka sita mfululizo nilichukua fedha ya zaka na kuilipa huko Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Vitu hivi niliwapa makuhani, wazawa wa Aroni, kwa ajili ya madhabahu. Niliwapa Walawi waliohudumu huko Yerusalemu zaka yangu ya divai, ngano, zeituni, makomamanga na matunda mengine. Kwa miaka sita mfululizo nilichukua fedha ya zaka na kuilipa huko Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 nikawapa makuhani, wana wa Haruni, huko madhabahuni. Zaka ya mazao yangu yote niliwapa wana wa Lawi, waliohudumu huko Yerusalemu;

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

7 Vitu hivi niliwapa makuhani, wazawa wa Aroni, kwa ajili ya madhabahu. Niliwapa Walawi waliohudumu huko Yerusalemu zaka yangu ya divai, ngano, zeituni, makomamanga na matunda mengine. Kwa miaka sita mfululizo nilichukua fedha ya zaka na kuilipa huko Yerusalemu.

Tazama sura Nakili




Tobiti 1:7
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo