Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 1:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Bali mimi desturi yangu huenda peke yangu mara nyingi mpaka Yerusalemu wakati wa sikukuu, kama walivyoamriwa Waisraeli wote kuwa agizo la milele. Huchukua malimbuko, na zaka za mazao yangu, na manyoya ya kwanza ya kondoo,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Katika jamaa yangu ni mimi peke yangu niliyekwenda kuabudu mara kwa mara huko Yerusalemu kutekeleza sheria inayowabana watu wote wa Israeli milele. Niliharakisha kwenda Yerusalemu na sehemu ya mazao ya kwanza ya mavuno na wanyama, zaka za mifugo na manyoya ya kwanza ya kondoo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Katika jamaa yangu ni mimi peke yangu niliyekwenda kuabudu mara kwa mara huko Yerusalemu kutekeleza sheria inayowabana watu wote wa Israeli milele. Niliharakisha kwenda Yerusalemu na sehemu ya mazao ya kwanza ya mavuno na wanyama, zaka za mifugo na manyoya ya kwanza ya kondoo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Bali mimi desturi yangu huenda peke yangu mara nyingi mpaka Yerusalemu wakati wa sikukuu, kama walivyoamriwa Waisraeli wote kuwa agizo la milele. Huchukua malimbuko, na zaka za mazao yangu, na manyoya ya kwanza ya kondoo,

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

6 Katika jamaa yangu ni mimi peke yangu niliyekwenda kuabudu mara kwa mara huko Yerusalemu kutekeleza sheria inayowabana watu wote wa Israeli milele. Niliharakisha kwenda Yerusalemu na sehemu ya mazao ya kwanza ya mavuno na wanyama, zaka za mifugo na manyoya ya kwanza ya kondoo.

Tazama sura Nakili




Tobiti 1:6
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo