Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 1:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Hivyo Akiakaro akaniombea, nikarudi tena mpaka Ninawi. Mradi huyu Akiakaro alikuwa mnyweshaji, na mlindamhuri, na wakili, na msimamizi wa hesabu; naye Esar-hadoni akamweka kuwa wa pili wake. Naye alikuwa mwana wa ndugu yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Basi, Ahika alinitetea, nikaruhusiwa kurudi Ninewi. Hii ilikuwa mara ya pili Ahika kuwa na cheo hicho, maana alikwisha kuwa mhudumu mkuu wa divai, waziri wa fedha, mhasibu na mwangalizi wa mhuri wa ofisi chini ya mfalme Senakeribu, naye Esar-hadoni akamthibitisha katika madaraka hayo. Ahika alikuwa binamu yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Basi, Ahika alinitetea, nikaruhusiwa kurudi Ninewi. Hii ilikuwa mara ya pili Ahika kuwa na cheo hicho, maana alikwisha kuwa mhudumu mkuu wa divai, waziri wa fedha, mhasibu na mwangalizi wa mhuri wa ofisi chini ya mfalme Senakeribu, naye Esar-hadoni akamthibitisha katika madaraka hayo. Ahika alikuwa binamu yangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Hivyo Akiakaro akaniombea, nikarudi tena mpaka Ninawi. Mradi huyu Akiakaro alikuwa mnyweshaji, na mlindamhuri, na wakili, na msimamizi wa hesabu; naye Esar-hadoni akamweka kuwa wa pili wake. Naye alikuwa mwana wa ndugu yangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

22 Basi, Ahika alinitetea, nikaruhusiwa kurudi Ninewi. Hii ilikuwa mara ya pili Ahika kuwa na cheo hicho, maana alikwisha kuwa mhudumu mkuu wa divai, waziri wa fedha, mhasibu na mwangalizi wa mhuri wa ofisi chini ya mfalme Senakeribu, naye Esar-hadoni akamthibitisha katika madaraka hayo. Ahika alikuwa binamu yangu.

Tazama sura Nakili




Tobiti 1:22
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo