Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 1:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Lakini mmojawapo wa Waninawi akaenda akanishtaki kwa mfalme, ya kwamba mimi nimewazika na kujificha; basi nilipotambua ya kuwa nilitafutwa ili niuawe nilijitenga kwa hofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Halafu mtu mmoja wa Ninewi alimwarifu mfalme kwamba mimi ndiye niliyekuwa nikiwazika Waisraeli waliouawa. Nilipogundua kuwa mfalme alipata kujua habari zangu zote, na nilipoona mimi mwenyewe watu wakinitafuta kuniua niliingiwa na hofu na kutoroka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Halafu mtu mmoja wa Ninewi alimwarifu mfalme kwamba mimi ndiye niliyekuwa nikiwazika Waisraeli waliouawa. Nilipogundua kuwa mfalme alipata kujua habari zangu zote, na nilipoona mimi mwenyewe watu wakinitafuta kuniua niliingiwa na hofu na kutoroka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Lakini mmojawapo wa Waninawi akaenda akanishtaki kwa mfalme, ya kwamba mimi nimewazika na kujificha; basi nilipotambua ya kuwa nilitafutwa ili niuawe nilijitenga kwa hofu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

19 Halafu mtu mmoja wa Ninewi alimwarifu mfalme kwamba mimi ndiye niliyekuwa nikiwazika Waisraeli waliouawa. Nilipogundua kuwa mfalme alipata kujua habari zangu zote, na nilipoona mimi mwenyewe watu wakinitafuta kuniua niliingiwa na hofu na kutoroka.

Tazama sura Nakili




Tobiti 1:19
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo