Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 1:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Vile vile iwapo Mfalme Senakeribu ameua watu, pale alipokuja amekimbia kutoka Yudea, niliwazika kwa siri; maana katika ghadhabu yake aliwaua wengi; lakini maiti zao hazikuonekana zilipotafutwa kwa amri ya mfalme.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Mfalme Senakeribu alipomuua mtu yeyote aliyekimbilia nchini mwake kutoka Yudea, mimi nilimzika kwa siri. Mfalme aliwaua watu wengi kutuliza hasira yake. Baadaye alipozitafuta maiti hizo hakuzipata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Mfalme Senakeribu alipomuua mtu yeyote aliyekimbilia nchini mwake kutoka Yudea, mimi nilimzika kwa siri. Mfalme aliwaua watu wengi kutuliza hasira yake. Baadaye alipozitafuta maiti hizo hakuzipata.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Vile vile iwapo Mfalme Senakeribu ameua watu, pale alipokuja amekimbia kutoka Yudea, niliwazika kwa siri; maana katika ghadhabu yake aliwaua wengi; lakini maiti zao hazikuonekana zilipotafutwa kwa amri ya mfalme.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

18 Mfalme Senakeribu alipomuua mtu yeyote aliyekimbilia nchini mwake kutoka Yudea, mimi nilimzika kwa siri. Mfalme aliwaua watu wengi kutuliza hasira yake. Baadaye alipozitafuta maiti hizo hakuzipata.

Tazama sura Nakili




Tobiti 1:18
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo