Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 1:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Hivyo nikaenda mpaka Umedi, nikaweka amana kwake Gabaeli mwana wa Gabria talanta kumi za fedha, huko Rage, mji wa Umedi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Kabla mfalme huyo hajafariki, nilikwenda mara nyingi nchini Media kumnunulia vitu. Siku moja, nilipokuwa mjini Rage huko Media, nilimwachia Gabaeli, nduguye Gabria, fedha mifuko kadhaa, nikamwomba anitunzie. Ndani ya mifuko hiyo mlikuwa na sarafu za shaba zaidi ya kilo 300.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Kabla mfalme huyo hajafariki, nilikwenda mara nyingi nchini Media kumnunulia vitu. Siku moja, nilipokuwa mjini Rage huko Media, nilimwachia Gabaeli, nduguye Gabria, fedha mifuko kadhaa, nikamwomba anitunzie. Ndani ya mifuko hiyo mlikuwa na sarafu za shaba zaidi ya kilo 300.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Hivyo nikaenda mpaka Umedi, nikaweka amana kwake Gabaeli mwana wa Gabria talanta kumi za fedha, huko Rage, mji wa Umedi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

14 Kabla mfalme huyo hajafariki, nilikwenda mara nyingi nchini Media kumnunulia vitu. Siku moja, nilipokuwa mjini Rage huko Media, nilimwachia Gabaeli, nduguye Gabria, fedha mifuko kadhaa, nikamwomba anitunzie. Ndani ya mifuko hiyo mlikuwa na sarafu za shaba zaidi ya kilo 300.

Tazama sura Nakili




Tobiti 1:14
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo