Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 1:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Naye Aliye Juu akanijalia kuwa na neema na kibali machoni pa Shalmanesa, hata nikawa mnunuachakula wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Mungu alimfanya mfalme Shalmanesa anipendelee na kunijali, hata nikapewa madaraka ya kumnunulia mfalme chakula chake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Mungu alimfanya mfalme Shalmanesa anipendelee na kunijali, hata nikapewa madaraka ya kumnunulia mfalme chakula chake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Naye Aliye Juu akanijalia kuwa na neema na kibali machoni pa Shalmanesa, hata nikawa mnunuachakula wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

13 Mungu alimfanya mfalme Shalmanesa anipendelee na kunijali, hata nikapewa madaraka ya kumnunulia mfalme chakula chake.

Tazama sura Nakili




Tobiti 1:13
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo