Sefania 3:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Lakini nitabakiza ndani yako watu walioonewa na maskini, nao watalitumainia jina la BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Nitakuachia watu wapole na wanyenyekevu ambao watakimbilia usalama kwangu mimi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Nitakuachia watu wapole na wanyenyekevu ambao watakimbilia usalama kwangu mimi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Nitakuachia watu wapole na wanyenyekevu ambao watakimbilia usalama kwangu mimi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Lakini nitakuachia ndani yako wapole na wanyenyekevu, ambao wanatumaini jina la Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Lakini nitakuachia ndani yako wapole na wanyenyekevu, ambao wanatumaini jina la bwana. Tazama sura |