Sefania 2:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Na hiyo nchi ya pwani itakuwa malisho, yenye vibanda vya wachungaji, na mazizi ya makundi ya kondoo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Nanyi nchi za pwani mtafanywa kuwa malisho; mtakuwa vibanda vya wachungaji na mazizi ya kondoo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Nanyi nchi za pwani mtafanywa kuwa malisho; mtakuwa vibanda vya wachungaji na mazizi ya kondoo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Nanyi nchi za pwani mtafanywa kuwa malisho; mtakuwa vibanda vya wachungaji na mazizi ya kondoo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Nchi iliyo karibu na bahari itakuwa malisho yenye visima vya wachungaji, na mazizi ya kondoo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Nchi kando ya bahari, mahali ambapo wanaishi Wakerethi, patakuwa mahali pa wachungaji na mazizi ya kondoo. Tazama sura |