Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Sefania 2:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Na ninyi Wakushi pia, mtauawa kwa upanga wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Nanyi watu wa Kushi pia mtauawa kwa upanga wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Nanyi watu wa Kushi pia mtauawa kwa upanga wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Nanyi watu wa Kushi pia mtauawa kwa upanga wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 “Ninyi pia, ee Wakushi, mtauawa kwa upanga wangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 “Ninyi pia, ee Wakushi, mtauawa kwa upanga wangu.”

Tazama sura Nakili




Sefania 2:12
12 Marejeleo ya Msalaba  

Inuka, Ee BWANA, umkabili, umwangushe, Kwa upanga wako uniokoe nafsi yangu na mtu mbaya.


Ole wake Ashuru! Fimbo ya hasira yangu, ambaye gongo lililo mkononi mwake ni ghadhabu yangu!


watu waliotoka katika nchi iliyo mbali, tokea upande wa mwisho wa mbingu; naam, BWANA na silaha za ghadhabu yake, ili aiangamize nchi yote.


Naye akafanya hivyo akaenda uchi, miguu yake ikiwa haina viatu. BWANA akasema, Kama vile mtumishi wangu Isaya anavyokwenda uchi, bila viatu, awe ishara na ajabu kwa muda wa miaka mitatu juu ya Misri na juu ya Kushi;


Maana mimi ni BWANA, Mungu wako; Mtakatifu wa Israeli, Mwokozi wako, nimetoa Misri kuwa ukombozi wako; nimetoa Kushi na Seba kwa ajili yako.


Nami nitaitia nguvu mikono ya mfalme wa Babeli, na kuutia upanga wangu katika mkono wake, bali mikono ya Farao nitaivunja, naye ataugua mbele yake, kwa mauguzi ya mtu aliyetiwa jeraha la kumwua.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo