Sefania 1:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Nami nitawaletea wanadamu dhiki, hata watakwenda kama vipofu, kwa sababu wamemtenda BWANA dhambi; na damu yao itamwagwa kama mavumbi, na nyama yao kama mavi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Kwa kuwa watu wamemkosea Mwenyezi-Mungu, yeye atawaletea dhiki kubwa, hivyo kwamba watatembea kama vipofu. Damu yao itamwagwa kama vumbi, na miili yao kama mavi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Kwa kuwa watu wamemkosea Mwenyezi-Mungu, yeye atawaletea dhiki kubwa, hivyo kwamba watatembea kama vipofu. Damu yao itamwagwa kama vumbi, na miili yao kama mavi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Kwa kuwa watu wamemkosea Mwenyezi-Mungu, yeye atawaletea dhiki kubwa, hivyo kwamba watatembea kama vipofu. Damu yao itamwagwa kama vumbi, na miili yao kama mavi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Nitawaletea watu dhiki, nao watatembea kama vipofu, kwa sababu wametenda dhambi dhidi ya Mwenyezi Mungu. Damu yao itamwagwa kama vumbi na matumbo yao kama kinyesi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Nitawaletea watu dhiki, nao watatembea kama vipofu, kwa sababu wametenda dhambi dhidi ya bwana. Damu yao itamwagwa kama vumbi na matumbo yao kama taka. Tazama sura |