Obadia 1:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Siku hiyo, je! Sitawaangamiza watu wenye akili katika Edomu, na wenye ufahamu katika kilima cha Esau? Asema BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Mimi Mwenyezi-Mungu nakuuliza hivi: Je, siku hiyo, sitawaangamiza wenye hekima kutoka Edomu na wenye maarifa kutoka mlima Esau? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Mimi Mwenyezi-Mungu nakuuliza hivi: Je, siku hiyo, sitawaangamiza wenye hekima kutoka Edomu na wenye maarifa kutoka mlima Esau? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Mimi Mwenyezi-Mungu nakuuliza hivi: je, siku hiyo, sitawaangamiza wenye hekima kutoka Edomu na wenye maarifa kutoka mlima Esau? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 “Katika siku hiyo,” asema Mwenyezi Mungu, “je, sitaangamiza wenye hekima wa Edomu, hao wenye ufahamu katika milima ya Esau? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 “Katika siku hiyo,” asema bwana, “je, sitaangamiza watu wenye hekima wa Edomu, watu wenye ufahamu katika milima ya Esau? Tazama sura |