Obadia 1:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Wala usisimame penye njia panda, ili kuwakatilia mbali watu wake wakimbiao; wala usiwatoe watu wake waliosalia, katika siku ya dhiki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Msingelisimama kwenye njia panda na kuwakamata wakimbizi wao; wala msingeliwakabidhi kwa adui zao wale waliobaki hai. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Msingelisimama kwenye njia panda na kuwakamata wakimbizi wao; wala msingeliwakabidhi kwa adui zao wale waliobaki hai. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Msingelisimama kwenye njia panda na kuwakamata wakimbizi wao; wala msingeliwakabidhi kwa adui zao wale waliobaki hai. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Usingengoja kwenye njia panda na kuwaua wakimbizi wao, wala kuwatoa watu wake waliosalia katika siku ya shida yao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Usingengoja kwenye njia panda na kuwaua wakimbizi wao, wala kuwatoa watu wake waliosalia katika siku ya shida yao. Tazama sura |