Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Nehemia 12:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Yoyada akamzaa Yohana, Yohana akamzaa Yadua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Yoyada alimzaa Yonathani na Yonathani akamzaa Yadua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Yoyada alimzaa Yonathani na Yonathani akamzaa Yadua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Yoyada alimzaa Yonathani na Yonathani akamzaa Yadua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Yoyada alikuwa baba wa Yonathani, na Yonathani alikuwa baba wa Yadua.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Yoyada alikuwa baba wa Yonathani, na Yonathani alikuwa baba wa Yadua.

Tazama sura Nakili




Nehemia 12:11
3 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yoshua akamzaa Yoyakimu, Yoyakimu akamzaa Eliashibu, Eliashibu akamzaa Yoyada,


Na siku za Yoyakimu wakawako makuhani, wakuu wa mbari za mababa; wa Seraya, Meraya; wa Yeremia, Hanania;


Walawi siku za Eliashibu, na Yoyada, na Yohana, na Yadua, wameorodheshwa wakuu wa mbari za mababa; tena na makuhani; hata siku za kumiliki kwake Dario, Mwajemi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo