Nahumu 2:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Amekuwa utupu, na ukiwa, na uharibifu; hata moyo unayeyuka, na magoti yanagonganagongana; moyoni kote mna uchungu, na nyuso za wote zimekuwa nyeupe kwa hofu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Mji wa Ninewi ni maangamizi matupu na uharibifu! Watu wamekufa moyo, magoti yanagongana, nguvu zimewaishia, nyuso zimewaiva! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Mji wa Ninewi ni maangamizi matupu na uharibifu! Watu wamekufa moyo, magoti yanagongana, nguvu zimewaishia, nyuso zimewaiva! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Mji wa Ninewi ni maangamizi matupu na uharibifu! Watu wamekufa moyo, magoti yanagongana, nguvu zimewaishia, nyuso zimewaiva! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Ameharibiwa, ametekwa nyara, ameachwa uchi! Mioyo inayeyuka, magoti yanalegea, miili inatetemeka, na kila uso umebadilika rangi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Ameharibiwa, ametekwa nyara, ameachwa uchi! Mioyo inayeyuka, magoti yanalegea, miili inatetemeka, na kila uso umebadilika rangi. Tazama sura |