Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 9:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Noa alikuwa mkulima wa kwanza. Alilima shamba la mizabibu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Noa alikuwa mkulima wa kwanza. Alilima shamba la mizabibu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Noa alikuwa mkulima wa kwanza. Alilima shamba la mizabibu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Nuhu akawa mkulima, akawa mtu wa kwanza kupanda mizabibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Nuhu akawa mkulima, akawa mtu wa kwanza kupanda mizabibu.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 9:20
15 Marejeleo ya Msalaba  

kwa hiyo BWANA Mungu akamtoa katika bustani ya Edeni, ailime ardhi ambayo katika hiyo alitwaliwa.


Akaongeza akamzaa ndugu yake, Habili. Habili alikuwa mchunga kondoo, na Kaini alikuwa mkulima.


Akamwita jina lake Nuhu, akinena, Huyu ndiye atakayetufariji kwa kazi yetu na kwa taabu ya mikono yetu katika nchi aliyoilaani BWANA.


Hawa watatu walikuwa wana wa Nuhu na kwa hao nchi yote ikaenea watu.


akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake.


Kinywa chake mwenye haki ni chemchemi ya uzima; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu,


Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi hana ufahamu.


Nilipita karibu na shamba la mvivu, Na shamba la mizabibu la mtu asiye na akili.


Lakini, pamoja na hayo, manufaa ya nchi kwa kila njia ni mfalme anayejibidiisha kwa ajili ya shamba.


Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.


Ni askari gani aendaye vitani wakati wowote kwa gharama zake mwenyewe? Ni nani apandaye mizabibu asiyekula katika matunda yake? Au ni nani achungaye kundi, asiyekunywa katika maziwa ya kundi?


Ni mtu gani aliye hapa aliyepanda shamba la mizabibu, wala hajatumia matunda yake? Aende akarudi nyumbani kwake asije akafa mapiganoni, yakatumiwa na mtu mwingine matunda yake.


Utaposa mke na mume mwingine atalala naye; utajenga nyumba usiikae; utapanda mizabibu usitumie matunda yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo