Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 8:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 akatoa kunguru, naye akatoka akaenda huku na huko, hata maji yakakauka juu ya nchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 akamtoa kunguru nje, naye hakurudi bali aliruka huko na huko mpaka maji yalipokauka nchini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 akamtoa kunguru nje, naye hakurudi bali aliruka huko na huko mpaka maji yalipokauka nchini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 akamtoa kunguru nje, naye hakurudi bali aliruka huko na huko mpaka maji yalipokauka nchini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 akamtoa kunguru, naye akawa akiruka kwenda na kurudi hadi maji yalipokwisha kukauka juu ya dunia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 na akamtoa kunguru, akawa akiruka kwenda na kurudi mpaka maji yalipokwisha kukauka juu ya nchi.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 8:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa baada ya siku arubaini, Nuhu akalifungua dirisha la safina, alilolifanya;


Kisha akatoa njiwa, aone kwamba maji yamepunguka usoni pa nchi;


Itakuwa utakunywa maji ya kile kijito; nami nimewaamuru kunguru wakulishe huko.


Kunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi, na mkate na nyama jioni, akanywa maji ya kile kijito.


Ni nani anayempatia kunguru chakula, Makinda yake wanapomlilia Mungu, Na kutangatanga kwa kutindikiwa na chakula?


Humpa mnyama chakula chake, Wana-kunguru waliao.


na kila kunguru kwa aina zake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo