Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 8:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Utoe pamoja nawe kila kilicho hai kilichomo pamoja nawe, chenye mwili, ndege, na mnyama, na kila kitambaacho, chenye kutambaa juu ya nchi; wajae katika nchi, wawe na uzazi, wakaongezeke katika nchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Toa pia viumbe wote hai wa kila aina waliokuwa pamoja nawe, ndege na wanyama na kila kiumbe kitambaacho, wapate kuzaa kwa wingi duniani, waongezeke na kuenea kila mahali duniani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Toa pia viumbe wote hai wa kila aina waliokuwa pamoja nawe, ndege na wanyama na kila kiumbe kitambaacho, wapate kuzaa kwa wingi duniani, waongezeke na kuenea kila mahali duniani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Toa pia viumbe wote hai wa kila aina waliokuwa pamoja nawe, ndege na wanyama na kila kiumbe kitambaacho, wapate kuzaa kwa wingi duniani, waongezeke na kuenea kila mahali duniani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Utoe nje kila aina ya kiumbe hai aliye pamoja nawe, wakiwamo ndege, wanyama na viumbe vyote vinavyotambaa ardhini, ili wakazae, na kuongezeka na kuijaza tena dunia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Utoe nje kila aina ya kiumbe hai aliye pamoja nawe: Ndege, wanyama na viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi, ili wakazae, na kuongezeka na kuijaza tena dunia.”

Tazama sura Nakili




Mwanzo 8:17
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akavibarikia, akisema, Zaeni, mkaongezeke, mkayajaze maji ya baharini, ndege na wazidi katika nchi.


Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuimiliki; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.


Toka katika safina, wewe, na mkeo, na wanao, na wake za wanao pamoja nawe.


Basi Nuhu akatoka, yeye, na wanawe, na mkewe, na wake za wanawe pamoja naye;


Mungu akambariki Nuhu na wanawe, akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi.


Nanyi zaeni, mkaongezeke; zaeni sana katika nchi, mkaongezeke ndani yake.


Naye aliwabariki wakaongezeka sana, Wala hawapunguzi mifugo wao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo