Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 8:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Akangoja na siku saba tena, akamtoa yule njiwa; naye asimrudie tena kamwe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Kisha akangoja siku nyingine saba, akamtoa tena yule njiwa; safari hii njiwa hakurudi kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Kisha akangoja siku nyingine saba, akamtoa tena yule njiwa; safari hii njiwa hakurudi kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Kisha akangoja siku nyingine saba, akamtoa tena yule njiwa; safari hii njiwa hakurudi kabisa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Akangojea siku saba zaidi na akamtuma tena hua, lakini wakati huu hua hakurudi tena kwa Nuhu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Akangojea siku saba zaidi na akamtuma tena hua, lakini wakati huu hua hakurudi tena kwa Nuhu.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 8:12
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akangoja na siku saba tena; kisha akamtoa yule njiwa katika safina mara ya pili,


njiwa akamjia jioni, na tazama, alikuwa na jani bichi la mzeituni kinywani mwake, ambalo amelichuma, basi Nuhu akajua ya kwamba maji yamepunguka juu ya nchi.


Umtumainie BWANA, uwe imara, Upige moyo konde, naam, umngoje BWANA.


Katika siku hiyo watasema, Tazama, huyu ndiye Mungu wetu, Ndiye tuliyemngoja atusaidie; Huyu ndiye BWANA tuliyemngoja, Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake.


Naam, katika njia ya hukumu zako Sisi tumekungoja, Ee BWANA; Shauku ya nafsi zetu inaelekea Jina lako na ukumbusho wako.


Kwa ajili ya hayo BWANA atangoja, ili awaonee huruma, na kwa ajili ya hayo atatukuzwa, ili awarehemu; kwa maana BWANA ni Mungu wa hukumu; heri wote wamngojao.


Nami nitamngojea BWANA, awafichaye uso wake nyumba ya Yakobo, nami nitamtazamia.


Enyi mkaao Moabu, ondokeni mijini, Nendeni mkakae majabalini; Mkawe kama njiwa atengenezaye kiota chake Kandoni mwa mdomo wa shimo.


Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo