Mwanzo 50:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC26 Basi Yusufu akafa, mwenye miaka mia moja na kumi; wakampaka dawa, wakamtia katika sanduku, huko Misri. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Basi, Yosefu akafariki kule Misri, akiwa na umri wa miaka 110. Nao wakaupaka mwili wake dawa usioze, wakauweka katika jeneza kule Misri. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Basi, Yosefu akafariki kule Misri, akiwa na umri wa miaka 110. Nao wakaupaka mwili wake dawa usioze, wakauweka katika jeneza kule Misri. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Basi, Yosefu akafariki kule Misri, akiwa na umri wa miaka 110. Nao wakaupaka mwili wake dawa usioze, wakauweka katika jeneza kule Misri. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Kwa hiyo Yusufu akafa akiwa na umri wa miaka mia moja na kumi. Baada ya kumtia dawa asioze, akawekwa kwenye jeneza huko Misri. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Kwa hiyo Yusufu akafa akiwa na umri wa miaka 110. Baada ya kumtia dawa ili asioze, akawekwa kwenye jeneza huko Misri. Tazama sura |