Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 50:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Wanawe wakamfanyia kama alivyowaagiza;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Wana wa Yakobo walimfanyia baba yao kama alivyowaagiza:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Wana wa Yakobo walimfanyia baba yao kama alivyowaagiza:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Wana wa Yakobo walimfanyia baba yao kama alivyowaagiza:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Hivyo wana wa Yakobo wakafanya kama baba yao alivyowaagiza:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Hivyo wana wa Yakobo wakafanya kama baba yao alivyowaagiza:

Tazama sura Nakili




Mwanzo 50:12
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nao waliokaa katika nchi, wale Wakanaani, walipoyaona matanga katika sakafu ya Atadi, wakasema, Matanga haya ya Wamisri ni makuu kwa hiyo mahali pale paliitwa Abel-Misri, iliyo ng'ambo ya Yordani.


kwa kuwa wanawe wakamchukua mpaka nchi ya Kanaani, na wakamzika katika pango ya shamba la Makpela, iliyo mbele ya Mamre, aliyoinunua Abrahamu pamoja na shamba kwa Efroni Mhiti, pawe milki yake ya kuzikia.


Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA, Mungu wako.


wakachukuliwa mpaka Shekemu wakazikwa katika kaburi lile, ambalo Abrahamu alilinunua kwa kima fulani cha fedha kutoka kwa wana wa Hamori, huko Shekemu.


Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, maana hii ndiyo haki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo