Mwanzo 50:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Wakaja mpaka uwanja wa kupuria nafaka wa Atadi, uliyo ng'ambo ya Yordani. Wakaomboleza huko maombolezo makuu, mazito sana. Akafanya matanga ya baba yake siku saba. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Walipofika katika uwanja wa kupuria nafaka wa Atadi, ngambo ya mto Yordani, waliomboleza kwa huzuni kubwa, naye Yosefu akamfanyia baba yake marehemu matanga ya siku saba. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Walipofika katika uwanja wa kupuria nafaka wa Atadi, ngambo ya mto Yordani, waliomboleza kwa huzuni kubwa, naye Yosefu akamfanyia baba yake marehemu matanga ya siku saba. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Walipofika katika uwanja wa kupuria nafaka wa Atadi, ng'ambo ya mto Yordani, waliomboleza kwa huzuni kubwa, naye Yosefu akamfanyia baba yake marehemu matanga ya siku saba. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Walipofika kwenye sakafu ya kupuria nafaka ya Atadi, karibu na Yordani, wakalia kwa sauti na kwa uchungu. Yusufu akakaa huko kwa siku saba kumwombolezea baba yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Walipofika kwenye sakafu ya kupuria nafaka ya Atadi, karibu na Yordani, wakalia kwa sauti na kwa uchungu; Yusufu akapumzika huko kwa siku saba kumwombolezea baba yake. Tazama sura |