Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 5:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Lameki akaishi miaka mia moja na themanini na miwili, akazaa mwana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Wakati Lameki alipokuwa na umri wa miaka 182, alimzaa mtoto wa kiume.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Wakati Lameki alipokuwa na umri wa miaka 182, alimzaa mtoto wa kiume.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Wakati Lameki alipokuwa na umri wa miaka 182, alimzaa mtoto wa kiume.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Lameki alipokuwa ameishi miaka mia moja na themanini na mbili (182), alimzaa mwana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 5:28
3 Marejeleo ya Msalaba  

Siku zote za Methusela ni miaka mia tisa na sitini na tisa, akafa.


Akamwita jina lake Nuhu, akinena, Huyu ndiye atakayetufariji kwa kazi yetu na kwa taabu ya mikono yetu katika nchi aliyoilaani BWANA.


wa Kenani, wa Arfaksadi, wa Shemu, wa Nuhu, wa Lameki,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo