Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 49:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Asheri, chakula chake kitakuwa kinono, Naye atatoa tunu za kifalme.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 “Ardhi ya Asheri itatoa mavuno kwa wingi, naye atatoa chakula kimfaacho mfalme.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 “Ardhi ya Asheri itatoa mavuno kwa wingi, naye atatoa chakula kimfaacho mfalme.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 “Ardhi ya Asheri itatoa mavuno kwa wingi, naye atatoa chakula kimfaacho mfalme.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 “Chakula cha Asheri kitakuwa kinono, naye atatoa chakula kitamu kinachomfaa mfalme.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 “Chakula cha Asheri kitakuwa kinono, naye atatoa chakula kitamu kimfaacho mfalme.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 49:20
4 Marejeleo ya Msalaba  

Lea akasema, Ni heri mimi, maana wanawake wataniita heri. Akamwita jina lake Asheri.


Na wana wa Asheri; Imna, na Ishva, na Ishvi, na Beria, na Sera, dada yao. Na wana wa Beria ni Heberi, na Malkieli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo