Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 49:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Zabuloni atakaa pwani ya bahari, Naye atakuwa kama pwani za kuegesha merikebu, Na mpaka wake utakuwa kando ya Sidoni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 “Zebuluni ataishi sehemu za pwani, pwani yake itakuwa mahali pa kuegesha meli. Nchi yake itapakana na Sidoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 “Zebuluni ataishi sehemu za pwani, pwani yake itakuwa mahali pa kuegesha meli. Nchi yake itapakana na Sidoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 “Zebuluni ataishi sehemu za pwani, pwani yake itakuwa mahali pa kuegesha meli. Nchi yake itapakana na Sidoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 “Zabuloni ataishi pwani ya bahari na kuwa bandari za kuegesha meli; mpaka wake utapanuka kuelekea Sidoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 “Zabuloni ataishi pwani ya bahari na kuwa bandari za kuegesha meli; mpaka wake utapanuka kuelekea Sidoni.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 49:13
4 Marejeleo ya Msalaba  

Lea akasema, Mungu amenipa mahari njema, sasa mume wangu atakaa nami, kwa kuwa nimemzalia wana sita. Akamwita jina lake Zabuloni.


Macho yake yatakuwa mekundu kwa mvinyo, Na meno yake yatakuwa meupe kwa maziwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo