Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 46:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Na wana wa Reubeni; Hanoki, na Palu, na Hesroni, na Karmi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 pamoja na wana wa Reubeni: Henoki, Palu, Hesroni na Karmi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 pamoja na wana wa Reubeni: Henoki, Palu, Hesroni na Karmi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 pamoja na wana wa Reubeni: Henoki, Palu, Hesroni na Karmi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Wana wa Reubeni ni: Hanoki, Palu, Hesroni, na Karmi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Wana wa Reubeni ni: Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 46:9
8 Marejeleo ya Msalaba  

Reubeni akamwambia baba yake, akasema, Uwaue wanangu wawili nisipomrudisha kwako; mtie katika mikono yangu, nami nitamrudisha kwako.


Na wana wa Simeoni; Yemueli na Yamini, na Ohadi, na Yakini, na Sohari, na Shauli, mwana wa mwanamke Mkanaani.


Haya ndiyo majina ya wana wa Israeli walioingia Misri, Yakobo na wanawe: Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Yakobo.


wana wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli; Hanoki, na Palu, na Hesroni, na Karmi.


Hawa ndio vichwa vya nyumba za baba zao: wana wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli; ni Hanoki, na Palu, na Hesroni, na Karmi; hao ni jamaa za Reubeni.


Na haya ndiyo majina ya wana wa Lawi, kulingana na vizazi vyao; Gershoni, na Kohathi, na Merari; na miaka ya maisha yake Lawi ilikuwa ni miaka mia moja na thelathini na saba.


Na wana wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kichwa kwa kichwa, kila mwanamume kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi wote walioweza kwenda vitani;


Hizi ndizo jamaa za Wareubeni; na hao waliohesabiwa kwao walikuwa elfu arubaini na tatu, mia saba na thelathini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo