Mwanzo 46:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC25 Hao ndio wana wa Bilha, ambaye Labani alimpa Raheli, binti yake, naye akamzalia Yakobo hao; wote walikuwa watu saba. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Hao saba ni watoto na wajukuu wa Yakobo na Bilha, mjakazi ambaye Labani alimpa binti yake Raheli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Hao saba ni watoto na wajukuu wa Yakobo na Bilha, mjakazi ambaye Labani alimpa binti yake Raheli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Hao saba ni watoto na wajukuu wa Yakobo na Bilha, mjakazi ambaye Labani alimpa binti yake Raheli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Hawa walikuwa wana wa Bilha aliomzalia Yakobo, ambaye Labani alikuwa amempa Raheli binti yake; jumla yao walikuwa saba. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Hawa walikuwa wana wa Bilha aliomzalia Yakobo, ambaye Labani alikuwa amempa Raheli binti yake; jumla yao walikuwa saba. Tazama sura |