Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 46:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Na wana wa Benyamini; Bela, na Bekeri, na Ashbeli, na Gera, na Naamani, na Ehi, na Roshi, na Mupimu, na Hupimu, na Ardi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Wana wa Benyamini walikuwa Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu na Ardi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Wana wa Benyamini walikuwa Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu na Ardi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Wana wa Benyamini walikuwa Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu na Ardi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Wana wa Benyamini ni: Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu, na Ardi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Wana wa Benyamini ni: Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu na Ardi.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 46:21
9 Marejeleo ya Msalaba  

Hao ndio wana wa Raheli, aliomzalia Yakobo, wote walikuwa watu kumi na wanne.


Benyamini ni mbwamwitu mwenye kuraruararua Asubuhi atakula mawindo, Na jioni atagawanya mateka.


Basi ilitukia ya kwamba kulikuwapo mtu asiyefaa, jina lake akiitwa Sheba, mwana wa Bikri, Mbenyamini; naye akapiga tarumbeta, akasema, Sisi hatuna sehemu katika Daudi, wala hatuna urithi katika mwana wa Yese; nendeni kila mtu hemani kwake, enyi Israeli.


Wa Benyamini Abidani mwana wa Gideoni.


Akamnena Benyamini, Mpenzi wa BWANA atakaa salama kwake; Yuamfunika mchana kutwa, Naye hukaa kati ya mabega yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo