Mwanzo 46:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Hao ndio wana wa Zilpa, ambaye Labani alimpa Lea, binti yake, naye akamzalia Yakobo hao, watu kumi na sita. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Hawa kumi na sita ni watoto na wajukuu wa Yakobo na Zilpa, mjakazi ambaye Labani alimpa Lea, binti yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Hawa kumi na sita ni watoto na wajukuu wa Yakobo na Zilpa, mjakazi ambaye Labani alimpa Lea, binti yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Hawa kumi na sita ni watoto na wajukuu wa Yakobo na Zilpa, mjakazi ambaye Labani alimpa Lea, binti yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Hawa ndio watoto Zilpa aliomzalia Yakobo, ambaye Labani alimpa binti yake Lea; jumla yao walikuwa kumi na sita. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Hawa ndio watoto Zilpa aliomzalia Yakobo, ambao Labani alimpa binti yake Lea; jumla yao walikuwa kumi na sita. Tazama sura |