Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 46:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Na wana wa Zabuloni; Seredi, na Eloni, na Yaleeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Zebuluni na wanawe: Seredi, Eloni na Yaleeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Zebuluni na wanawe: Seredi, Eloni na Yaleeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Zebuluni na wanawe: Seredi, Eloni na Yaleeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Wana wa Zabuloni ni: Seredi, Eloni, na Yaleeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Wana wa Zabuloni ni: Seredi, Eloni na Yaleeli.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 46:14
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Isakari; Tola, na Puva, na Yashubu, na Shimroni.


Hao ndio wana wa Lea, aliomzalia Yakobo katika Padan-aramu, na Dina, binti yake. Wanawe wote wa kiume na kike walikuwa watu thelathini na watatu.


Zabuloni atakaa pwani ya bahari, Naye atakuwa kama pwani za kuegesha merikebu, Na mpaka wake utakuwa kando ya Sidoni.


Hawa ndio wana wa Israeli; Reubeni, na Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Zabuloni;


Wa Zabuloni; Eliabu mwana wa Heloni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo