Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 46:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Na wana wa Isakari; Tola, na Puva, na Yashubu, na Shimroni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Isakari na wanawe: Tola, Puva, Yashubu na Shimroni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Isakari na wanawe: Tola, Puva, Yashubu na Shimroni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Isakari na wanawe: Tola, Puva, Yashubu na Shimroni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Wana wa Isakari ni: Tola, Puva, Yashubu, na Shimroni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Wana wa Isakari ni: Tola, Puva, Yashubu na Shimroni.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 46:13
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Lea ni Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, na Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Zabuloni.


Na wana wa Yuda; Eri, na Onani, na Shela, na Peresi, na Zera; lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani. Na wana wa Peresi, ni Hesroni, na Hamuli.


Na wana wa Zabuloni; Seredi, na Eloni, na Yaleeli.


Na wa wana wa Isakari, watu wenye akili za kujua nyakati, kuyajua yawapasayo Israeli wayatende; vichwa vyao walikuwa watu mia mbili na ndugu zao wote walikuwa chini ya amri yao.


Hawa ndio wana wa Israeli; Reubeni, na Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Zabuloni;


Wa Isakari; Nethaneli mwana wa Suari.


Na Zabuloni akamnena, Furahi Zabuloni, katika kutoka kwako; Na Isakari, katika hema zako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo