Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 46:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Na wana wa Simeoni; Yemueli na Yamini, na Ohadi, na Yakini, na Sohari, na Shauli, mwana wa mwanamke Mkanaani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Simeoni na wanawe: Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli, aliyezaliwa na mwanamke Mkanaani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Simeoni na wanawe: Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli, aliyezaliwa na mwanamke Mkanaani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Simeoni na wanawe: Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli, aliyezaliwa na mwanamke Mkanaani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Wana wa Simeoni ni: Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari, na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Wana wa Simeoni ni: Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 46:10
14 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Isaka akamwita Yakobo, akambariki, akamwagiza akamwambia, Usitwae mke wa binti za Kanaani.


Akapata mimba tena akazaa mwana, akasema, Kwa kuwa BWANA amesikia ya kwamba mimi sikupendwa, amenipa na huyu; akamwita jina lake Simeoni.


Ikawa siku ya tatu, walipokuwa wakiumwa sana, wana wawili wa Yakobo, Simeoni na Lawi, nduguze Dina, wakatwaa kila mtu upanga wake, wakaujia mji kwa ujasiri, wakawaua wanaume wote.


Yakobo akawaambia Simeoni na Lawi, Mmenitaabisha, kunifanya ninuke vibaya kati ya watu wa nchi hii, Wakanaani na Waperizi; na mimi, kwa kuwa watu wangu ni haba, watanikusanyikia, na kunipiga, nami nitaangamizwa, mimi na nyumba yangu.


Na wana wa Lawi; Gershoni, na Kohathi, na Merari.


Na wana wa Reubeni; Hanoki, na Palu, na Hesroni, na Karmi.


Hawa ndio wana wa Israeli; Reubeni, na Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Zabuloni;


Na wana wa Simeoni; ni Yemueli, na Yamini, na Ohadi, na Yakini, na Sohari, na Shauli mwana wa mwanamke wa Kikanaani; hao ni jamaa za Simeoni.


Wa Simeoni; Shelumieli mwana wa Suri-shadai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo